Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,450
- 203,040
Asumaniiiiiiiiiiii 🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤣 raraa reree
Huo msumari 🤭
🤣🤣🤣🤣aloooMing'pko hii mitamu nilikuwa sijalada mrefu kumbe dar ipo View attachment 2698887
We kunywa tu dear deni haliui mtuTuna madeni
Na matatizo ya kodi
Najua nina Vipengele
Ila pesa ya shisha na wine 2 hatukosi 🤸♂️🤸♂️
Huu wimbo utanichizisha 🤣
Na hayafungi mtuWe kunywa tu dear deni haliui mtu
ni lyrics hizi?? mbona kama tunaongelea nyimbo tofautiTuna madeni
Na matatizo ya kodi
Najua nina Vipengele
Ila pesa ya shisha na wine 2 hatukosi
Si kina Rayvann naa Juma?ni lyrics hizi?? mbona kama tunaongelea nyimbo tofauti
😂😂😂😂
Nilisahau kama we wakishua 🤣🤣🤣😂😂😂😂
What i got tena😂😂
Umekaa zako huna hili wala lile unapewa silesi huzijui😆
maria rosa, usije ntosaSi kina Rayvann naa Juma?
Em ongeza lyrics yako kwanza 😂
Ukute dish lishayumba hapa
Kuna huu pia 😂😂maria rosa, usije ntosa
we nibariki nkupeleke kwa mwamposa
achia shiishaaa,
achukuchaaaaa😂
chino kidd😂
Nilikuwa nakulaga mtwara hivi na chikandanga🤣🤣🤣🤣alooo
ngoja niucheki😂 niko na vibe leoKuna huu pia 😂😂
View attachment 2698907
Ujakosea kabisa madeni mpaka tunabadili njia hila pesa ya shisha ipoTuna madeni
Na matatizo ya kodi
Najua nina Vipengele
Ila pesa ya shisha na wine 2 hatukosi 🤸♂️🤸♂️
Huu wimbo utanichizisha 🤣