Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,883
- 67,334
Duh .........Ndo uaniche na nature yangu.
Kama hupendezwi na uchangiaji wangu unaweza kutemana na mimi.
Kuwa makini dogo sio una attack watu unazingua hili sijui lile kati yangu na yako nani mzinguaji. 🤣🤣🤣🤣
Nakuonea huruma sana unajua uchoko wako lakini
Haya kitulize sasa nisije nikakuweka kwenye list yangu ya mananiliiu. Hutopenda