Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hayo ya kesho asubuhi
Jishikilie nakukumbusha tu, Mwanaume sio madomo wala Mwanaume sio kukaa kibarazani na wanawake kupiga umbea ulipo simu mpaka chupi na cha kunyolea vuzi umenunuliwa na walezi,

Jipange kuwa bora mwanaume sio sex tu na kutomgozana, jua baadae unataka kuwa nani hasa kama unataka kuwa malaya sawa ila otherwise change mtizamo na maisha yako dogo

Hao mademu unaopiga nao story wanapata mabwana sasa na wewe kama utapata bwana haya
 
Jishikilie nakukumbusha tu, Mwanaume sio madomo wala Mwanaume sio kukaa kibarazani na wanawake kupiga umbea ulipo simu mpaka chupi na cha kunyolea vuzi umenunuliwa na walezi,

Jipange kuwa bora mwanaume sio sex tu na kutomgozana, jua baadae unataka kuwa nani hasa kama unataka kuwa malaya sawa ila otherwise change mtizamo na maisha yako dogo

Hao mademu unaopiga nao story wanapata mabwana sasa na wewe kama utapata bwana haya
sawasawa Andazi ukweli mchungu huu nimeupokea kwa mikono miwili ✊✊✊✊👊👊👊
 
Nategemea nisikuone ukicomment vijembe tena humu.
Sawa bro si comment vijembe tena nimeacha i swear 💯💯👍👍💪💪.

Umeniambia ukweli mchungu sana na nimeamua kukuheshimu maana umetumia lugha nyepesi bila matusi

I was carried away though. Hutoona vijembe vyangu popote pale tena.

Ubarikiwe mkuu. 👍👍
 
Sawa bro si comment vijembe tena nimeacha i swear 💯💯👍👍💪💪.

Umeniambia ukweli mchungu sana na nimeamua kukuheshimu maana umetumia lugha nyepesi bila matusi

I was carried away though. Hutoona vijembe vyangu popote pale tena.

Ubarikiwe mkuu. 👍👍
Great Kijana
Nakujua kuliko unavyojijua
 
Afu mimi mpole sana ukiona nimempopoa mtu ujue tunafanya utani

Yaani mpk niutukane ujue umevuka mpaka wa kuheshimiana
Nilikua sijaona hizi hasira zako, IM SORRY. Najua pengine nimechangia wewe leo kuwa hivi

Hata kama kwa sasa we are not on good terms but doesn't mean that i moved on

I know you are too good, please be considerate and polite
 
Kumekucha kumekucha


Aseee auntiee nakufuata pm saivi unipe mkasa wote

Hee mbona hukuniambia mi nilijua tu ile naniliiu yenu isingeisha salama.

Sasa hapo mlikuwa hamna hata mwezi mngetimiza mwaka sijui ingekuwaje.



🦣🦣🦣
Huu mwandiko unafanana kila kitu na cocastic, sijui kwa nini nawaza wewe utakua cocastic.

Cocastic ndio huyu penseli, na ndio bichwa komwe
 
Ndo uaniche na nature yangu.

Kama hupendezwi na uchangiaji wangu unaweza kutemana na mimi.

Kuwa makini dogo sio una attack watu unazingua hili sijui lile kati yangu na yako nani mzinguaji. 🤣🤣🤣🤣

Nakuonea huruma sana unajua uchoko wako lakini

Haya kitulize sasa nisije nikakuweka kwenye list yangu ya mananiliiu. Hutopenda
Duh .........
 
20230723_183118.jpg
 
Back
Top Bottom