Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Samalekooooo ndugu mjumbe!!Nakunao ndugu mjumbe
Kitrambo sana jakuona humuuu!! Tumekumiss hadi basi!!
Karibu tena selfika ndugu na nafurahi sana kukuonaa!
Samalekooooo ndugu mjumbe!!Nakunao ndugu mjumbe
Mwanzaaaaa?
Antonnia nipo nipo kabisa ndugu mjumbeSamalekooooo ndugu mjumbe!!
Kitrambo sana jakuona humuuu!! Tumekumiss hadi basi!!
Karibu tena selfika ndugu na nafurahi sana kukuonaa!
Hapana mimi sijawahi badili ID na sijapigwa tukio kwa sababu sina mawasiliano na mtu yeyote nje ya jfHaukupigwa tukio mkuu! Ndio ukaibuka na miss jf.
Morning cousin!!Hapana mimi sijawahi badiki ID na sijapigwa tukio kwa sababu sina mawasiliano na mtu yeyote nje ya jf
Kumekucha cousin tukapambane tupate mahelaaaMorning cousin!!
Yeah!! Pesa utelezi wa maisha!Kumekucha cousin tukapambane tupate mahelaaa
utelezi tena jaman, mbona mnatuhamisha hamisha mawazo asbhYeah!! Pesa utelezi wa maisha!


Mkipata msinisahauKumekucha cousin tukapambane tupate mahelaaa
Khakhakhaaaa...!utelezi tena jaman, mbona mnatuhamisha hamisha mawazo asbh![]()
Damn one among the expensive advice given for free.Jishikilie nakukumbusha tu, Mwanaume sio madomo wala Mwanaume sio kukaa kibarazani na wanawake kupiga umbea ulipo simu mpaka chupi na cha kunyolea vuzi umenunuliwa na walezi,
Jipange kuwa bora mwanaume sio sex tu na kutomgozana, jua baadae unataka kuwa nani hasa kama unataka kuwa malaya sawa ila otherwise change mtizamo na maisha yako dogo
Hao mademu unaopiga nao story wanapata mabwana sasa na wewe kama utapata bwana haya
Nime penda hii humble response 💪Sawa bro si comment vijembe tena nimeacha i swear 💯💯👍👍💪💪.
Umeniambia ukweli mchungu sana na nimeamua kukuheshimu maana umetumia lugha nyepesi bila matusi
I was carried away though. Hutoona vijembe vyangu popote pale tena.
Ubarikiwe mkuu. 👍👍
Samahani bro Penseli 4 na Mwachiluwi , naomba mchill wazee🙏🙏, tu maintain position attitudeDuuh kati yangu na ww mfukuliwa mtaro nani mzinguaji zaidi???
Au unataka na ww nikushushie mafile yako hapa sio.
Dogo kaa kwa kutulia. Haya endelea sasa.
Niko angani😂😂, mshamba_hachekwi njoo ukaone ka last bornwaa😂
Ahahaha last born kachoka hoi njooni mumbebe na gar ya shemeji yake 🤣🤣Niko angani😂😂, mshamba_hachekwi njoo ukaone ka last bornwaa😂
anakula maisha huyu kila siku anasafiriNiko angani😂😂, mshamba_hachekwi njoo ukaone ka last bornwaa😂
Tujitafute na sisi🙏💪anakula maisha huyu kila siku anasafiri