YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Kusalimiaa
Uje na zawadi mgeni
Kusalimiaa
sijawahi yaani, nafika tu ndo umetokaWeee Makasi muongooo wewee mara kibao natupia ukiwepogi mbona!
🧑🦯Uje na zawadi mgeni
😏😏😏😏😏😏Sawa Ahsante![]()
usiniambie tulikuwa wote hapa kwenye pool 🥹Niko tayari kuondoka shem!View attachment 2696297
Kati yangu na wao nani anakimbiaga![]()
Embu acha kunichekesha we kuws huru choko akikusumbua we niambie tu chap.
Unamuogopa stranger wa mtandaoniau we shem vipi.
Au nikufate pm useme vizuri maana ww muoga kama kunguru vile![]()



ntumie pm aisee nmechelewaKhaaaaaaa![]()
✌️✌️✌️✌️
Wewe ndio kati ya wale 70 tulioahidiwa kule tukifika ehKhaaaaaaa![]()
Waambie waambie bestie.Penseli 4 ni kesho la Mtu mmoja haogopi mtuuu huyoooo udugu.. labda mkimbilie kwanza modsss 😁😁😁😊!!
Wewe ndio kati ya wale 70 tulioahidiwa kule tukifika eh



Waambie waambie bestie.
Wanadhani naogopa mtu mi hata jf headquarters nimefika sana tu, melo nimeongea naye sana tu namba zake ninazo pia.
Humu nimedeal na wapumbavu wote na hamna wakunifanya kitu
Kule kwenye jukwaa la siasa ndo usiseme sembuse hii mijinga inayokojolewa ilipe kodi na kulea vitoto vilivyotelekezewavinadangia mpaka vizeee.
Hapa ndo center sirudishi mpira kwa kipa ni mbele kwa mbele![]()
Wee Cute Wife acha woga shem



😆😆😆😆 Wala mi mbona mpole mbona ila sipendi nione niwapendao wansumizwaShem wee kiboko unapenda ugomvi![]()
Sina bahati kwakweli 🥹🥹Usiku mwema wapendwa mrare unonoooo!!
Wacha Nikapumzishe fuvu langu sasa!!!!
Wala mi mbona mpole mbona ila sipendi nione niwapendao wansumizwa
Sio kwenye familia yangu, marafiki zangu, au yeyote aliyepo moyoni
Aweee ntaivaa na ww. Ila mi mtu poa sanakaribu chips shem View attachment 2696485



Una shida ww vitunguu vipo wapi hapo au umelewa usiku huu!!naona vitunguu😆😆