Selfika na JF: Snap it. Show it


Shem unanijaza

Mbona wa kawaida bana
 
Ukorofi umeanza lini mjombaaa!!!
Enjoy your night mjomba akeee!
Kitu mnatroooo... cream πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹.. Umepewa kila kitu mtoto mashaaalaaa shangazi akeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️🀞🀞✌️
 
Jamani National Anthem waache wafunge kuepuka usumbufu.

Sie wengine hatusumbuliwi, PM moja miezi 6....mbwembwe zakuwekaπŸ”’ tutapata wapi???πŸ™„
 
Shem unanijaza

Mbona wa kawaida bana
🀣🀣🀣🀣 Kwa nilizoona humu ndani aseee upo top 3 nakuambia shem.

Acha tu kumbe nina shem mzuri hivi. Anyway mimi sikoseagi kabisa marafiki zangu wa kike wote ni wazuri kwanzia nilivyokuwa msingi hadi leo na hawakosi.


1. Sura
2. Shape

Na ww nimekuverify official βœ…βœ…βœ…. Kama pisi kali
 
Hahahaaa... Unashangaa huyu anaeniita shangazi mbona ye kakomaa zaidi yangu kwaniii huo ushangazi who which when
!!!

Wapiii Deeeeeeeeejjjjjjjjayyyy
!!

Acha tu humu hakuna wa kumuita mwenzie shangazi wala nyookoo ya aunt ni vibibi vilivyokosa matunzo tumejaa


Sijaona mtoto niwe mkweli mimi nasali dhambi nyingine za kujitakia SITAKI
 
Jamani National Anthem waache wafunge kuepuka usumbufu.

Sie wengine hatusumbuliwi, PM moja miezi 6....mbwembwe zakuwekaπŸ”’ tutapata wapi???πŸ™„
Hapanaaaa hapanaaaa ( in mkojani voice )... Hawajiamini... Wamefunga PM Ila kutwa wanatusumbua PM... πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…... Leo pombe nayo kunywaaa naweza kosea adabu watu humu Acha ni logout
 

Mhmm!! Hapo chacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…