๐
๐
๐
Mapigo niliyopigwa vijana wa sasa hivi hawezi niingiza kingi.. sanasana mie nitawanyoooaaa.. kubwa zaidi kuna mmoja alishanipiga $1200 kutokea hapo nikapata haitakaa itokeee nikapigwaaa tenaaa.. na najua nitamkatakaaa sijaisemehee hiyo hela nitamla kwanzaaa