Kuna madogo wajuaji waliingia kichwa-kichwa miaka kuanzia 2012, aisee waliliwa vichwa.
Wenyewe walidhani kila mtu ni akisema ana gari basi lazima atakuwa bwanyenye fulani hivi.
Baadhi walipewa ahadi ya kupelekwa Marekani na Ulaya, lakini wakaishia pale Sinza kumekucha.