Mkuu humu JF ni kuzidiana kete.. Yani Me wa humu na Ke wa humu wana viziana hatari... Anaekosea hesabu analiwa kichwaa... Kuna mambo mazito sana nyuma yanaendeleaga.. sababu ya kutoka ukatibu na watu nisio elewa nilishaingia mkenge hatari sana humu.. sito toa story yake Ila ilikuwa ni π₯π₯π₯π₯π₯π₯... Kisa huruma za kusaidia usichokijua... Kuanzia hapo .. nawachukuliaga kama wanavyo kujaaa