Selfika na JF: Snap it. Show it

Fun Fact Friday, [emoji482][emoji482][emoji482]
Weekend zzzzzzzzzzz!!!!!
[emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]
 
Mimi sitaki kazi ya ukonda
Siwezi purukushani za barabarani.
Nimemwambia Kwa sababu nimeona ameuliza kuhusu hiyo kazi, na mimi niliona tangazo lao.

Kazi nayoiweza ni ubeki tatu maana shughuli zake nyingi ni nyumbani.
Nimekujibu kule juu, nahisi hujaona comment, naomba link ya hilo tangazo au mawasiliano yao sasa
 
Mkuu niko serious, mimi ni bekitatu natafuta kazi ya ukonda wa mabasi ya mikoani, ikishindikana basi niwe hata konda wa daladala
Kuna wakati unafanya masihara lakini kinywa huumba.

Anyway umechelewa kidogo, kulikuwa na nafasi nyingi Klm bus, nilifanikiwa kuwaunga wawili.

Labda wakati mwingine zikitokea
 
Uchoyo tu na ki cocastic chako.
Amuendi pitimbi a bibi😭
 
Sitaki hata kumuona, jana kanifanya nikeshe kumsubiri halafu akanilingia. Lolote limkute huko aliko leo cocastic na G wake augue asimpe. 😔
Weeee coca alikwambia hata aumweee mizagamuo ni constant!! Lazima umpeeee☺️☺️😁!!

Atatupia badaeee cocaa mzunguuuu!!
Asipotupia nistue nitacompaseti mimiii hata za miaka 47 hukooo☺️☺️☺️!!
 
Reactions: 511
Weeee coca alikwambia hata aumweee mizagamuo ni constant!! Lazima umpeeee☺️☺️😁!!

Atatupia badaeee cocaa mzunguuuu!!
Asipotupia nistue nitacompaseti mimiii hata za miaka 47 hukooo☺️☺️☺️!!
Fanya kunitupia wakati tunamsubiri mrembo😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…