Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi niko Dar jamani natafuta mtu aniunganishe kwenye kazi za ukonda wa Mabasi ya mikoani specifically mikoa hii Mbeya, Kilimanjaro, Tanga, Dodoma, Mwanza, Arusha, Iringa wakuu nimechoka kazi za uhausigeli
 
kazi gani??
 
Tangazo hilo uwenda nimekosea kuandika ila please nisaidie kama kuna vijana kesho waje ofisn izo nssf watashughulikia wakiwa wanapewa training nipo nje muda
Majobless tumekuelewa mbona.
Tuje saa ngapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…