Mpwa baada ya mazungumzo ya miwa Jana nikaenda dukani nikakuta sehemu wazee kama 10 hivi wanakula acha nicheke nikakumbuka ule Uzi ππππ
Mmoja akaniita nikachukue nilicheka had walinishangaa,Kila nikiingalia ilivo mirefu Sina mbavuπππ
Shimba ya Buyenze