Selfika na JF: Snap it. Show it

mzee unajisema mwenyewe๐Ÿ˜‚

karibu chama cha wala mifupa
 
Mpwa baada ya mazungumzo ya miwa Jana nikaenda dukani nikakuta sehemu wazee kama 10 hivi wanakula acha nicheke nikakumbuka ule Uzi ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Mmoja akaniita nikachukue nilicheka had walinishangaa,Kila nikiingalia ilivo mirefu Sina mbavu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Shimba ya Buyenze
 
Mmh
Both banaaa
Hawa nao waongo jmn

Msukuma, miss youuuuโœŒ๏ธโœŒ๏ธ
 
Mmh
Both banaaa
Hawa nao waongo jmn

Msukuma, miss youuuuโœŒ๏ธโœŒ๏ธ
Usiwabishie wanasayansi. Labda nawe uje na utafiti wako!

Miss you too Mtumishi wa Bwana Aliye hai. Hongereni kwa semina nzuri iliyoisha jana. Endeleeni kutenda kazi shambani mwake bila kuchoka maana mavuno ni mengi lakini wavunaji ni wachache...na muda uko ukingoni ๐Ÿ™๐Ÿฟ๐Ÿ™๐Ÿฟ๐Ÿ™๐Ÿฟ
 
Nimepita tu maeneo ya stendi hapa Misungwi kama nusu saa iliyopita nikamkuta yanki mmoja hivi wa makamo anayo mitatu mirefu mmoja ndiyo anapambana nao miwili iko chini basi mi mbavu sina. Nilikukumbuka pia nikaishia kujisemea I wish mpwa angekuwepo hapa ajionee hii sanaa ya kula miwa mirefuuu bila kuikata kata ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

 
Sawa,acha nisiwabishie wanasayansi๐Ÿ˜…kiroho ni both.....

Asante sana msukuma....
Ni kwa Neema tu ya Mungu.....Hakika wataenda kazi ni wachache mnoooo
Na we uingine kazini,ushuhudie tu kwakweli....
 
Sawa,acha nisiwabishie wanasayansi๐Ÿ˜…kiroho ni both.....

Asante sana msukuma....
Ni kwa Neema tu ya Mungu.....Hakika wataenda kazi ni wachache mnoooo
Na we uingine kazini,ushuhudie tu kwakweli....
Kuingia kazini si mpaka uitwe mtumishi au unataka niibuke tu kwa akili zangu mwenyewe nianze kujiita nabii/mtume/mtumishi/mwalimu?

Toa mwongozo mtumishi ๐Ÿ™๐Ÿฟ
 
Nimepita tu maeneo ya stendi hapa Misungwi kama nusu saa iliyopita nikamkuta yanki mmoja hivi wa makamo anayo mitatu mirefu mmoja ndiyo anapambana nao miwili iko chini basi mi mbavu sina!

View attachment 2683961
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Yani ulikuwa kama Mimi Jana aisee nilishindwa kujizuia Kila nikiwaangalia vimo vyao na Ile miwa Nacheka alieniita ndo aliharibu nilivoikaribia Sasa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ