Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndio huku Nyakiboo sasa Hizo nyumba za kupanga zenyewe sasa lol!! vijumba vya udongooo hata havieleweki nyie Tanzania ni kubwaa hii hebu tembeeni matakoni mwa Tz mjue maisha muexperience enough ndio muwe mnaropoka wadogo zanguu!
Kuongelea nyumba anayoishi mtu ni upumbavu na kiburi cha uzima.

Tunatofautiana kiuwezo na kimazingira.


Wengine kwetu labda nyumba za tofali,,,uwezo wetu umeishia hapo.
Huwezi kuanza kumbeza mtu eti kisa ana nyumba ya tofali,
Ndipo Mungu alipomjalia kwa wakati huo uwezo wake umeishia hapo.
 
Duh pole pia aisee bado wanakusema tu .

Yaani hao ni kuignore tu
Ukiongea ni kazi bure .

Vipi wazima huko ??
Nimepita selfika nyuma leo nikaona ulivokua unalalamika nikakumbuka yangu lol!!

Humu tunasemana sana yanii kweli kupotezea tu!!

Huku kwema tushaanza mchakamchaka tena!
 
Bado Watoto wa akili/ experience Mungu awarehemu bure tu!
 
Nimepita selfika nyuma leo nikaona ulivokua unalalamika nikakumbuka yangu lol!!

Humu tunasemana sana yanii kweli kupotezea tu!!

Huku kwema tushaanza mchakamchaka tena!
Yako ile inaumiza sana
So sad duh ,

Na tukapigwa na ban yaani πŸ˜‚πŸ˜‚
Japo wengine fupi .

Ooh vyema sana, wameelewa viwalo huko ??
 
Unanipanga tu, sioni maendeleo
Unaonaje unipe namba yake basi.
Nijaribu kuongea nae nimsikie. 🀩
Number nitakupa mkishaonana shem , nikiwahi kumpa ataanza kuuliza maswali mengi .
 
Reactions: 511
Yako ile inaumiza sana
So sad duh ,

Na tukapigwa na ban yaani πŸ˜‚πŸ˜‚
Japo wengine fupi .

Ooh vyema sana, wameelewa viwalo huko ??
Unasemea ilee sema zileee!! Kuna hio moja babkubwa ile ikasome nakwambia hahahaaa... ebu nicheke kwanza😁!!

Kuna hio mfano tu lakini mtu ( Ke) kamzimikia Rabbitus ilee kufa kuozaa na yupo tayari Rabbit amle buuuree kabisa yani kwa udi na uvumba sasa gia aliyoenda nayo kwa Rabbit ni kukupondea wewe Tinsley kwakua anaona upo karibu na Rabbit ile mnavoflirt humu kutaniana mwenzenuu anatamani kufaaaaa 🀠🀠😁 Ni anakukandiaa na kukuzushiaa balaaa πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ!!

Nasemaaaajeeeeee jf sihamiiiiii πŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•Ί!!
 
Nikaja speed nifurahie mema ya nchi kumbe ni mfanoπŸ˜‚

Jamani punguzeni mifano fanyeni kweli, tupo na upwiru wetu hapaπŸ˜‚
 
Nisogezeee huu ubuyuu, mbna sina taarifa yake. Fanyaa unifikie km ulivyooo.
 
Iko wapi hiyo ingine

Huo ni mfano ni balaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Duh mbona balaa basi

Ila watu wana shida sana humu πŸ˜‚πŸ˜‚

Sasa kama kampenda kwa nini achafue wengine duh wivu huo jamani .
 
Watu wana wivu hatareeee
Cute Wife ukuje .

Humu watu wanapenda kusema
Kweli wenzao ni vile ndo tushapaenda huu mtandao .

Tuna la kufanya basi
Tupo kuondoa stress hapa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…