Duh pole pia aisee bado wanakusema tu .Poleee na hekaheka za kusemwa selfika dear!!!
Mie sikuhizi nimebaki kucheka tu kwa ninayoyasikia kunihusu humu!!
Huyu yalikuwa majaribio tu shem.Si ushapata huyo mini adult ??
Shem , sitaki lawama mie 😂
Winja winja.Zimefanyajeee?? Emu semaa
Kotaziiii woyeeeeee!!!!Kuna watu hata Kota wanazisikia redioni
Wanakaa vijumba havieleweki kodi mgogoro,wengine huishia kuingia kwenye njia zisizo halali ili waipate.
Kuna watu wanadangia kodi,,,
Kuna grp moja nipo,dada anatafuta namna ya kwenda kutapeli mtu ili apate kodi.
Ukipata Neema ya kuishi Kota mshukuru Mungu.
Mimi natamani sehemu ninakofanya kazi kungekuwa na kota maana si kwa kuchoka huku ninakochoka kwenda na kurudi.
Nyie bado watoto sana kiakili Mungu awasamehe bureee!!uduguuu kwan kuna nn?? Mbna naonaa manjegekaaaa??
Ukisema kotaz za serikali, una maanisha, DRs, Wanajeshi, polisi, Walimu, Etc.
Mbna familia nyingi ndo zimezaliwa na kukuliaa ktk kotazii, tena kwa jina maarufu huwa huitwa "free town".
Umepoa sana kampyukuSio wima wima
Hahaa akikungangania jeHuyu yalikuwa majaribio tu shem.
Huyo nimemuelewa sema tu hunipi masharti yake. Au niibie namba yake tu shem 😍
Nyie bado watoto sana kiakili Mungu awasamehe bureee!!
Mie nimedakia tyuuu kuhusu taa alosema Mwachi udugu akee hakuna hata la maana !
Hebu Fanya wepesi unibless kigodoro shoss sijakuona kitrambo sanaaa ujue!!
Kota zinapondwa wapi kwani?Kotaziiii woyeeeeee!!!!
Sina main chick shemHahaa akikungangania je
Bestie yangu hataki kuwa side chick eeh , utaweza hili ??
Kota zinapondwa wapi kwani?
Amayeziponda labda awe na mjengo wake au kazi anayolipiwa apartment ya kueleweka.
Vinginevyo ni kujifariji.
Safi sanaSina main chick shem
Bila shaka akiingia atakuwa yeye ndie main
Ndio huku Nyakiboo sasa Hizo nyumba za kupanga zenyewe sasa lol!! vijumba vya udongooo hata havieleweki nyie Tanzania ni kubwaa hii hebu tembeeni matakoni mwa Tz mjue maisha muexperience enough ndio muwe mnaropoka wadogo zanguu!Kuna watu hata Kota wanazisikia redioni
Wanakaa vijumba havieleweki kodi mgogoro,wengine huishia kuingia kwenye njia zisizo halali ili waipate.
Kuna watu wanadangia kodi,,,
Kuna grp moja nipo,dada anatafuta namna ya kwenda kutapeli mtu ili apate kodi.
Ukipata Neema ya kuishi Kota mshukuru Mungu.
Mimi natamani sehemu ninakofanya kazi kungekuwa na kota maana si kwa kuchoka huku ninakochoka kwenda na kurudi.
Heemie janaa nilipita samuweaa ndo nkakutaa watu wamecharuaanaa hapoo, hadi watu kukaa kota za serikali ikaingizwaa, JF bhanaaa full Manjegekaaa.
Nenda uzi wa unayemchukia JF. ukajionee dramaa za JF.
December nakuja. Nifanyie wepesi shemSafi sana
Ngoja nikufanyie mpango
Ukiwa free nishtue niwakutanishe
Hee
Kuna nini tena?
Kweli napitwa na mambo
Sijui ndo uzeee
Nashindwa kwenda na kasi ya Jf.
Ntapitia nikipata muda.
Sema mambo ya kusemana ni upumbavu na uzwazwa wa hali ya juu
Nikiona mtu anambeza mtu siku hizi namuona kama chizi.
Tuna mambo mengi mazuri ya kufanya mbali na vijembe.
Mna vitrukoo sio kidogooo walahiii!!mie janaa nilipita samuweaa ndo nkakutaa watu wamecharuaanaa hapoo, hadi watu kukaa kota za serikali ikaingizwaa, JF bhanaaa full Manjegekaaa.
Nenda uzi wa unayemchukia JF. ukajionee dramaa za JF.
Karibu sanaDecember nakuja. Nifanyie wepesi shem