Dah yaani huwa sipend kuna siku nimejitoa zangu naenda Ramadan nikatupia.picha wasp kumbe kuna mtu kauzika uko kaenda mwambia rafike yake ambaye nafahamiana nae na anacontact zangu anamwabia et huyu kutwa kwenda sehemu za kutumia hela nying lakini masikini wakutupwa dah nilikwazika.hela zangu napangiwa matumizi