Fanya hivi..Hahahahaha
Mama J kaenda wapi eti jamani



Shunie ni shahidii baba J
Eeeeehhhh
Waalaaa tuu jamani baba JFanya hivi..
Weka hiyo Baba J iwe signature yako kabisa..![]()
EwaaahLeo nalala kwa Shunie
Baki nazoo
Leo nalala kwa Shunie
Sikuji mimi jamani baba JNajua ikifika saa 7 utamwambie akulete
..
Sifungi hata mlango...ukifika ingia tuu..![]()

Ndo hivyo dada jamani, mbona siku nyingi saaana jamani!!!!
Mimi niko singo kipenzi!
Jiongeze dadabaunsa ananiangusha jamani
Yaaaniii mecheka mimiii jamani!!!
Yeah miaka miwili imepita jamani!! Hivi kumbe ulikuwa wasoma eeehhh!!!
Sikuji mimi jamani baba J
Nguo zangu zilete kwa Shunie
Hivi miaka mitatu tayari?!!Hata mimi nasubiria nikuone,miaka 3 sasa but pm bado ina kufuli
Tuma wewe hebuSakayo na shunie Tumeni picha...
Acheni story..