Selfika na JF: Snap it. Show it

Muwe na mchana mwema wapendwaaa ngoja nirare kwanzaaa!!
Hali ya hewa ya Dar leo inanikosha balaaaaa!! Hii ndio hali ya hewa Ya Nyakiboo sasa hata jua likiwaka kunakua na kaubaridii kama kama ka AC vile!
I love it!πŸ˜΄πŸ’€πŸ˜΄πŸ’€πŸ˜΄πŸ’€
 
Km ujana wa Selfika tumekulaaa na tumeuchezaaa.
Sahivi tunawaachiaa wapyaaaa,
 
Reactions: 511
Kula good time ya Dsm.
 
Kata mitaa wewe
Unalalaje kwa mfano, utasimulia nini ukirudi Nyakiboo.

Nenda hata kidimbwi hapo, au kimara ukale mbuzi katoriki
 
Hakika nafurahi sana kuona mnavyoendelea. Japo ilikuwa coincidence tu ila nashukuru kukutana nanyi siku ile.
Mungu mwema sana shem
Nashukuru pia
Ukiwa kama kaka , rafiki , tunasema asante sana
 
Reactions: 511
Kata mitaa wewe
Unalalaje kwa mfano, utasimulia nini ukirudi Nyakiboo.

Nenda hata kidimbwi hapo, au kimara ukale mbuzi katoriki
Badae nikiamka !! Sio kwa hali hii ya hewa lol inashawishi kuraraaπŸ˜›πŸ˜΄πŸ’€πŸ˜΄πŸ’€πŸ’€
 
Reactions: 511
Nawahi hapa nikajifunike blanketi ..
Hii nadra sana huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…