Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,494
- 55,138
Wewe uwongo tuma hapa na ww unaziba macho nyie mpoje vijana wa sasanishatuma sana, niko likizo
Wewe uwongo tuma hapa na ww unaziba macho nyie mpoje vijana wa sasanishatuma sana, niko likizo
Ubwabwa wa shughuli😀😀😀Mtu unaambiwa sherehe ipo sehemu flan..
Oky wee upo wapi usafili upo..
Ukaleta umbamba na ugaigai
🤓🤓😂😂😂😂
Ila shida si ubwabwa au..?
Namansha ukituma macho unakua umeondoa ufcho ambao upo humu JF""""Ukituma na macho unareveal""" ndo kufanya nini mkuu
Unatumia lugha ngumu na weweUkituma na macho unareveal anonymity
tuma yako tuone kipara hichoWewe uwongo tuma hapa na ww unaziba macho nyie mpoje vijana wa sasa
Maternity leave😎😁nishatuma sana, niko likizo
Tuma macho peke yake picha futa ileNamansha ukituma macho unakua umeondoa ufcho ambao upo humu JF
Yani watu wanakua wanakujua
Ngoja ntume OGTuma macho peke yake picha futa ile
Lugha nyepesiii tatizo poor b.... 😀😀😀😀😀Unatumia lugha ngumu na wewe
Wewe unatakaga macho ya watu ili iwaje? 😂 😂 😂 😂Tuma macho peke yake picha futa ile
mimi ni dumeMaternity leave😎😁
Yaaah acha uwoga kabisaNgoja ntume OG
Mkuu kumbe ni wewe ngoja nkuchek whatsap
Mi bora mtu afiche kila kitu ila macho tuu ndo shida yangu 🤓🤓🤓🤓🤓Wewe unatakaga macho ya watu ili iwaje? 😂 😂 😂 😂
Wasap ya wapi kijanaMkuu kumbe ni wewe ngoja nkuchek whatsap
Mkuu mimi ni wale macho kumchuzi kama Wu LeiMi bora mtu afiche kila kitu ila macho tuu ndo shida yangu 🤓🤓🤓🤓🤓
Unataka uwone sura kabisa wakat umetaka kuona kipara kijanaunaziba sura