🤣🤣🤣🤣🤣Utapeli nyie ndo mlikuwa matapeli wenyew 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangaziii taratibuuu kwanii, hivii nikikumbukaa nachekaa sanaa, sisi hatukua wa kuachanaa.
Mapenzi ni utapeliiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pocket money ikiisha si ulikuwa unatumiwa nyingine au????Ule utoto ulikua unatusumbua, pocket money inaisha na shule sijagusaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yuko vizuri itakuwa watu wanaojua kupika wengi sio wachoyo Hawa wakuchemsha chemsha hivo supuzao za dagaa wananyima balaa hawali had mgeni aondoke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo ya kuweka ndio zake, alifanyaga ka tafrija kadogo, kheeeh asiniwekee na mie, nashangaa SAA 4 mtu ananipigia cm fungua mlango niko hapa, kufungua hotpot hilo.
Ndani mazaga zaga ya kushatoooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwenye kupikaa anajuliaa, huyu m mwera sio mchezo.
Kuna siku muhudumu anatuambia, "nyie watoto msome kwani hayo mnayo yafanya yapo tyuuh" [emoji23][emoji23][emoji23] anaongea huku anachekaaa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Utapeli nyie ndo mlikuwa matapeli wenyew [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haha hatari sana unaomba nyingine mm nilikuwa napewa Kwa ratiba natumiwa pesa na mama weekend had weekend ukijifanya mtumiaji wa ovyo kazi kwako😀😀😀😀Ule utoto ulikua unatusumbua, pocket money inaisha na shule sijagusaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndyooooooh,Pocket money ikiisha si ulikuwa unatumiwa nyingine au????
🤣🤣🤣Mambo mmeyaanza zamani nyie 🤣🤣🤣Kuna siku muhudumu anatuambia, "nyie watoto msome kwani hayo mnayo yafanya yapo tyuuh" [emoji23][emoji23][emoji23] anaongea huku anachekaaa.
Afu j3 ya kufungua shule hiyo wala hatuna habariii.
Sawa nyie wakishua si wengine tulikuwa tunapewa nauli ya kurudi shule then tunakula ugali wa shule muhula mzima bila pesa ya matumiziHaha hatari sana unaomba nyingine mm nilikuwa napewa Kwa ratiba natumiwa pesa na mama weekend had weekend ukijifanya mtumiaji wa ovyo kazi kwako[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu mie mbna pocket money sijala sana, yote ilikua inarud kwa mama ananipelekea vicoba.Haha hatari sana unaomba nyingine mm nilikuwa napewa Kwa ratiba natumiwa pesa na mama weekend had weekend ukijifanya mtumiaji wa ovyo kazi kwako[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Aliyekuwa anakupa pesa baada ya kuishiwa ni nani????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndyooooooh,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kila nikikumbuka nataman ningekua bado nna no ya yule dada, nimuambie wateja wako wa faida, sahivinkila mtu na 50 zake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mambo mmeyaanza zamani nyie [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mzazii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aliyekuwa anakupa pesa baada ya kuishiwa ni nani????
Kwenye kupikaa huyu mdada anajua, kanifundisha kukaanga yai la nyanya, linatoka km chips zegee, afu tamuu balaaa.Yuko vizuri itakuwa watu wanaojua kupika wengi sio wachoyo Hawa wakuchemsha chemsha hivo supuzao za dagaa wananyima balaa hawali had mgeni aondoke
Mzazi wako alikuwa anajua kuwa ulikuwa unalala lodge kabla ya kufika shule???Mzazii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siri zangu nyingii anazo alikua mdada wetu wa kazi, Paulina popote ulipoo uwndelee na kifua hicho na moyo huo.Mm sijabahikaga kuwa na mahusiano ya karibu nilitoroka likizo nikaenda Kwa mtu wangu mbali balaa alafu alikuwa ananihonga mbwa yule nikaona nikampoze machungu [emoji3][emoji3][emoji3]nikamuaga auntyangu afanye Siri nikampa na Hela kumbe friji haligandishi akavujisha Siri Kwa Mjomba nilichambwa Hadi nikahis kizunguzungu
Hapanaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzazi wako alikuwa anajua kuwa ulikuwa unalala lodge kabla ya kufika shule???
Sawa huyo BF bado unaye au mmshaachana, maana ujana unamambo mengi. Kwanini usingesuribiri umalize shule ukaolewa?? Ndio ufanye hayo mambo ukiwa na mumeo??Hapanaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee hela tulikua tunachanga na BF wangu, siwezi tumia zote naanzaje kwan, hata hivyo mbna sikua natumia sana, nilikua natumia vyakula vya shule, sina mambo mengi yaan.
KunaNakujua ww unapenda nyama kwahiy sishangai
BF tulikua wote wanafunzi, tushaachanaa mda tyuuh.Sawa huyo BF bado unaye au mmshaachana, maana ujana unamambo mengi. Kwanini usingesuribiri umalize shule ukaolewa?? Ndio ufanye hayo mambo ukiwa na mumeo??
Ahahaha nakujua mshikaji unapenda kuku njoo ukuleKuna
1 Pilau Nyama
2 Nyama Pilau
huwa napenda nyama Pilau