Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aaliyyah

Shangaziiii uko wapiii, nakujaa hapo kula nyamaa, tena uniambie kabisa nipige code gan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Maana kuna mualiko nimepewa, hizo code za kutupia ni jau.
[emoji23][emoji23][emoji23] nifanyie fea, nilipuke km navyolipukagaaa.

Nakuja na ndizi kabisaa, hata usipatee tabuu shangazii akee.
 
Ukimpima G yanaenea kabisa, au tumtazamie mwingine. [emoji23]
G ndo kituooo cha mwisho, labda mie nirudi nilikotoka, au yeye abagazwee na waja. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Aaliyyah

Shangaziiii uko wapiii, nakujaa hapo kula nyamaa, tena uniambie kabisa nipige code gan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Maana kuna mualiko nimepewa, hizo code za kutupia ni jau.
[emoji23][emoji23][emoji23] nifanyie fea, nilipuke km navyolipukagaaa.

Nakuja na ndizi kabisaa, hata usipatee tabuu shangazii akee.
Karibu aunt
Wew njoo upendavyo tu muhimu andaa tumbo tu😀
Wamekupa code Gabi nikupe majibu
Wakikuuliza Asalam aleykum unajibu waleykum salam 😀ingia ndani nawa sema bismillah Anza na nyama🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom