Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Heheeemna mambo mengi😂
sasa kama sio mlokole na ana hela??
Lazima tuone unavyosali haswa kwenye kukemea roho chafu .
Heheeemna mambo mengi😂
sasa kama sio mlokole na ana hela??
hujajibu swali unajing'ata unajua pesa ilivyo tamu😂Heheee
Lazima tuone unavyosali isije haswa kwenye kukemea roho chafu .
Balaa mwanangu, miguu yote inaganda😂Hii fog ni balaa
View attachment 2672671
Sijui iko wapi nionje utamu wa pesa 😂😂hujajibu swali unajing'ata unajua pesa ilivyo tamu😂
Hehee balaa na nusuMpaka ukamjaribie kanisani tayari wote mna roho chafu🏃🏃🏃🏃
Unapakaa wapi?Tiba ya chap
Ni kupakaa View attachment 2672674
tafta sponsa lililoshiba😂 ulokole utausahau😂Sijui iko wapi nionje utamu wa pesa 😂😂
hii kitu imenisave sana kwenye upweke😂Tiba ya chap
Ni kupakaa View attachment 2672674
Kwa mikono/ viganjaUnapakaa wapi?
Shetty wewe 🤣hii kitu imenisave sana kwenye upweke😂
Mpk tumbo linakaza 🤣😂😂Bal
Balaa mwanangu, miguu yote inaganda😂
Sawa, nimeipenda hiyo kuchaKwa mikono/ viganja
😂 tufanyaje sasa? Chai tumekunywa mpaka basiMpk tumbo linakaza 🤣😂😂
Mie die hard mlokoletafta sponsa lililoshiba😂 ulokole utausahau😂
kitambi cha chips kileeeeee😂Tution 👩🏫📚View attachment 2672687
Basi sawaa.Aaah,Fursa ishapita ,ila ngoja niulize tena, ukafanye screen test jmos
Hiyo kitambi sana shemNiko poa sana shem, sijakuona toka juzi kumbe ulipeleka mtu kanisani. mshamba_hachekwi
Hiyo picha maneno yake, yamenikoshaa mnoooo.Kumbe wewe shem Tinsley ndio unakaa na viremba kichwaniboyfriend anajaribiwa chumbani na kutoa huduma sio kanisani kwenye maombi. Maombi ni kazi ya mwanamke kumuombea boyfriend wake. View attachment 2672614

