Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,226
Hii sijachaji mpk kesho 😂😂Chaji simu kwanza, uweke dimpoz
Simu yangu sio pasi
Hii sijachaji mpk kesho 😂😂Chaji simu kwanza, uweke dimpoz
Totoo mshamba_hachekwi shem wako anataka picha ndio akutathmini kama utafaa kuwa shem darling au upigwe chiniYaan
Akilia kdg tu mnamuhurumia 😂😂
Kwanza mwambie aweke picha tumkumbuke, me nishamsahau
mama dimpoz.Hii sijachaji mpk kesho 😂😂
Simu yangu sio pasi
siweki picha yangu humu mpaka nione yako😂Totoo mshamba_hachekwi shem wako anataka picha ndio akutathmini kama utafaa kuwa shem darling au upigwe chini
naona unaenda full gear mzee wanguYaani naomba uwe personal tour guider tukafanye royal tour mama dimpoz.
Yaani naomba uwe personal tour guider tukafanye royal tour mama dimpoz.
Smart girl 🔥Sijaelewa
Basi ngoja niweke reversenaona unaenda full gear mzee wangu
Those dimples 😊😊😊😊Amalize UE aje 😛
Nipate mpishi View attachment 2670725
😅😅😅😅😅Basi ngoja niweke reverse View attachment 2670773
Nilisema nastaafu huu uzi kumbe bado nipo nipo sana, nimeghairi kwa muda
Hiyo aposiweki picha yangu humu mpaka nione yako😂
Sa itakuaje Mkuu?Imeishaa ioooo😀😀😀 kulikua kumepoa sana
Washa taa wewe
Umeme umekatika?
Luku imekataWasha taa wewe
Imalizie tu mkuu!!Amalize UE aje 😛
Nipate mpishi View attachment 2670725
Unamuaibisha Jack Palladino, kumbe hatoi matunzo?Luku imekata
Luku, na wapangaji wamegoma kununuaUmeme umekatika?
WakishuaMitaa imetuletea 😛View attachment 2670884