Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,226
Hapo nakuchinja na kisu butu🙆🙆🙆🙆
Hapo nakuchinja na kisu butu🙆🙆🙆🙆
Tena akanyage kubwa kubwaa😂😂😂 mshamba_hachekwiAmalize UE aje 😛
Nipate mpishi View attachment 2670725
nidalalie wewe😂
Nimemwambia asimalize hela za boom
ntakuja mwakani bana😂Amalize UE aje 😛
Nipate mpishi View attachment 2670725
Totoo jamani🤣nidalalie wewe😂
Bora kuchinjwa na wewe nitapata burudani kuangalia vishimo wakati kisu butu kinahangaika na ngozi. 🔥🔥Hapo nakuchinja na kisu butu
Hahaa na wanakuaga na hela kama zote madenti, maana hapo anapiga vizinga familia nzima😂Nimemwambia asimalize hela za boom
Abakize za kuja nazo twende pizza hut 😂😂
Akae kando
Nna kisu kibutu hapa
🤣🤣🙌Bora kuchinjwa na wewe nitapata burudani kuangalia vishimo wakati kisu butu kinahangaika na ngozi. 🔥🔥
Acha unaa, mfikilie mla mihogo mwenzangu banaHahaa na wanakuaga na hela kama zote madenti, maana hapo anapiga vizinga familia nzima😂
Totoo tatizo lake ni bad boy, angekua mwema tungemfikiria
Hivi kwa kumuangalia huyo mtoto, anafaa kwa mla mihogo kweli?Acha unaa, mfikilie mla mihogo mwenzangu bana
mihogo na viazi kwa afyaHivi kwa kumuangalia huyo mtoto, anafaa kwa mla mihogo kweli?
Atamkomaza tumbo mdogo wetu, aaah atafute hela kwanza bana
auntie uko vizuri hadi bad boys unawajua😂Hahaa na wanakuaga na hela kama zote madenti, maana hapo anapiga vizinga familia nzima😂
Totoo tatizo lake ni bad boy, angekua mwema tungemfikiria
AiiiiiMatajiri hatunaga mambo mengi, wasio nao ndio wanashobokea piza, sisi mihogo na viazi
Intel njooo uoneMatajiri hatunaga mambo mengi, wasio nao ndio wanashobokea piza, sisi mihogo na viazi
Mirija unakaa Ila hauumii kichwa kama unavyosuka, weka utapendezaNatamani nikaweke mirija
Ila nikikumbuka ule muda unakaliza kalio chini mpk kiti kinakuwa cha moto naona urembo siuwezi ☹️☹️View attachment 2670730
Chaji simu kwanza, uweke dimpozNatamani nikaweke mirija
Ila nikikumbuka ule muda unakaliza kalio chini mpk kiti kinakuwa cha moto naona urembo siuwezi ☹️☹️View attachment 2670730
na mahindi ya kuchoma😂Matajiri hatunaga mambo mengi, wasio nao ndio wanashobokea piza, sisi mihogo na viazi kwa afya
Unataka hivi👇
View attachment 2670729
Chochea,, Chochea,,Intel njooo uone
YaanHahaa na wanakuaga na hela kama zote madenti, maana hapo anapiga vizinga familia nzima😂
Totoo tatizo lake ni bad boy, angekua mwema tungemfikiria