Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Tafuta gellyYanii.. tena huku mbele kabisa ndio kazipunyua Kweli bora ingekua katikati!!
Dawa Achana nayo
Tafuta gellyYanii.. tena huku mbele kabisa ndio kazipunyua Kweli bora ingekua katikati!!
Kuziweka hapa ni ngumu kdg ,ila waambie wanitafuteWeka contact zako tuwape wajuzi
Kuna watu wanajua ila hawapo jf.
Nimeongelea kiuwingiWanaume u mwanaume wako?
Wanakutafutaje na jf hawapo?Kuziweka hapa ni ngumu kdg ,ila waambie wanitafute
Ngoja nifanye hivo!Tafuta gelly
Dawa Achana nayo
Hahaaa kazi kwenu 😂😂tafuteni motivator nyingine.... bakini kwenye tall dark and handsome😂
aha kumbe hela sio ishu, unachangamsha tu genge😂Ninaweza toka na mtu yoyote
Vunjabei nadhani hana maana hiyo.Sawa sawa, unakutana demu ana bwana ake ,na bado nakupiga mizinga

Kwanza wenye hela full stressaha kumbe hela sio ishu, unachangamsha tu genge😂
Chako ni chako tu hata kama ni kidogo una uhuru nacho mume hata awe na mabilioni ni yake sio yako!!Vunjabei nadhani hana maana hiyo.
Anaongelea watu wenye mahusiano/ndoa serious.
Source ya kwanza ni mwanaume
Haijalishi pesa yake ni kidogo au nyingii
Nyingine ni ziada
Hata kama ni mamillioni ya pesa![]()
Hajasema chako siyo chakoChako ni chako tu hata kama ni kidogo una uhuru nacho mume hata awe na mabilioni ni yake sio yako!!

Hahahaha,oooh kumbe kama ni hivyo yuko sawaVunjabei nadhani hana maana hiyo.
Anaongelea watu wenye mahusiano/ndoa serious.
Source ya kwanza ni mwanaume
Haijalishi pesa yake ni kidogo au nyingii
Nyingine ni ziada
Hata kama ni mamillioni ya pesa![]()
DuhHajasema chako siyo chako
Chako chako,chake chako pia
Na chako chake.
Wani PM ?Wanakutafutaje na jf hawapo?
Basi ngoja wataalam wa jf waje.
Na Kuna wasio na hela pia full stressKwanza wenye hela full stress
Huku wanawake wanamfata na kumtongoza
Bora upate wa kufanana naye na kawaida hakusumbui sana .
Sikiliza wimbo ule diamond Yatapita ,naupenda sana .
Mtu atakupm vipi na JF siyo member?Wani PM ?
Basi asubiri tangazo huko mitandaoni hii ilikua ofa ya humu kabla haijaenda hewaniMtu atakupm vipi na JF siyo member?
Nipe contact zake nitamtafutaMtu atakupm vipi na JF siyo member?
Hao ndo wanaume 😂😂😂Na Kuna wasio na hela pia full stress
Ni kuomba tu Mungu Upendo wa kweli uwepo bila kujali pesa ipo au haipo..
Kuna watu wana pesa na wana true love
Kuna wengine hawana pesa na wana true Love vilevile
Kuna watu pesa wanayo na ni vichomi
Na Kuna vichomi plus,pesa hana na stress kama zote.
KabisaHao ndo wanaume 😂😂😂
Yani ndo maana siku hizi wadada wanazaa tu watoto na kutulia .
No stress .
Kuna msemo huo , its better cry in a Mercedes Benz than on a biycle