Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Weeee anawasaidia Wapi mtu ukae tu kumtegemea mwanaume unabweteka tu ndio dharau nananyanyaso yanaenda anzia hapo!! Japo sio kwanza wote ila hio mbaya sana asee!
Hajasema ubweteke
Amesema source ya kwanza ya mapato ni wanaume
Nyingine ni ziada.
 
Vunjabei nadhani hana maana hiyo.
Anaongelea watu wenye mahusiano/ndoa serious.

Source ya kwanza ni mwanaume
Haijalishi pesa yake ni kidogo au nyingii


Nyingine ni ziada
Hata kama ni mamillioni ya pesa[emoji23]
Chako ni chako tu hata kama ni kidogo una uhuru nacho mume hata awe na mabilioni ni yake sio yako!!
 
Back
Top Bottom