Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Content kuhusu Nini?Mpk hapa nishakosa ndio maana nauliza hapa
Content kuhusu Nini?Mpk hapa nishakosa ndio maana nauliza hapa
Niko poa sana rafiki!!Hahaha hahaha,jambo wewe rafiki
Weeee hao watuwezeshe mitaji tu kama inawezekana nasie tuwe na vyanzo vyetu inafikia wakati too much ombaomba anakuchoka!!





Anawajaza madada wawe wategemezi tuu ashendwee!!
Sema vunjabei hela zinambana
Kabisa plus juzikati nilisukaga weaving likanikata nywele mbele then alienifumua akazikata kama zote sasa dawa naona ndio inataka kuzinyonyoa ziishe kabisa nianze moja!!


Toeni jamani 😂😂huyu anachangamsha genge we endelea kumsikiliza😂
Anawajaza madada wawe wategemezi tuu ashendwee!!





kisima kisichokua na maji, kinakataje kiu??😂Toeni jamani 😂😂
Safi hata mie naona uko poaNiko poa sana rafiki!!
Yanii.. tena huku mbele kabisa ndio kazipunyua Kweli bora ingekua katikati!!
Mfumuaji alikuwa haoni?
Sipendi watu ambao hawajali nywele za wenzao..Imagine mtu anakatakata tu bila kuangalia.
Ni heri mtu akatae kunifumua kuliko anifumue kwa kunikata.
Hapa sasa hapafai ,kama mtu yupo anioneContent kuhusu Nini?
Weeee anawasaidia Wapi mtu ukae tu kumtegemea mwanaume unabweteka tu ndio dharau nananyanyaso yanaenda anzia hapo!! Japo sio kwanza wote ila hio mbaya sana asee!
Mm naona anawasaidia
Hasa wale wadada wenye wanaume wasiojitambua.
Pesa ni motivatorkisima kisichokua na maji, kinakataje kiu??😂
Hajasema ubwetekeWeeee anawasaidia Wapi mtu ukae tu kumtegemea mwanaume unabweteka tu ndio dharau nananyanyaso yanaenda anzia hapo!! Japo sio kwanza wote ila hio mbaya sana asee!
Unapenda pesa sio ?Pesa ni motivator
Mnataka msipendwe 😂😂😂
Weka contact zako tuwape wajuziHapa sasa hapafai ,kama mtu yupo anione
tafuteni motivator nyingine.... bakini kwenye tall dark and handsome😂Pesa ni motivator
Mnataka msipendwe 😂😂😂
Wanaume u mwanaume wako?Hajasema ubweteke
Amesema source ya kwanza ya mapato ni wanaume
Nyingine ni ziada.
Huku wapi😅😅Yanii.. tena huku mbele kabisa ndio kazipunyua Kweli bora ingekua katikati!!
Pesa yangu mwenyeweUnapenda pesa sio ?