Wivu utakuua chief😁Unapenda sana hizi mambo![]()
Acha mrembo atupe madini
Wivu utakuua chief😁Unapenda sana hizi mambo![]()
Ebu waelezeSio wote, mbna mie siko hivyoo sasa![]()
Hii nitumie mimi nitamsimuliaNyie wangoni viuno vyenu vya vurugu km mnacheza ngoma
Wamakonde wanapiga slow motion ananata na beat namba inachorwa kwa umakini na kwa ustadi!! Nina video moja nilirecord sema sio poa ningerusha hapa uone sema bibi yake rafiki angu nitakuwa namdhakilisha
Ungeona kwenye moja na mbili![]()
Tuma vocha kwanza shem akee 😂Hii nitumie mimi nitamsimulia
Astaafir llah!!Pale yanapomwagikiaaa uwiiiiii Hasa yakiwa mengi afu kuwe hakuna kava nani alale thubutuu!!😂😂😂!!
Zitanyonyoka sasa😂💔Si bora aliepaka nywele kiujumla walau zinakua nyinyi nyingi walau mimi nimesuka kawaida hutu twa mbele twa kulaza na jeli ni alirundikaa yeuwiiiii!! Dakika hio hio nakwambia 🙌🙌🙌🙌!!
Yanii unajikuta mbele uwaraza kama wote uwii!Zitanyonyoka sasa😂💔
Yanii unajikuta mbele uwaraza kama wote uwii!




Kubuni kitu gani?Nani humu ana kipaji cha utangazaji ? Na anaeza kujitolea ,kubuni







Kubuni ContentKubuni kitu gani?
Mimi hapa![]()
Kabisa plus juzikati nilisukaga weaving likanikata nywele mbele then alienifumua akazikata kama zote sasa dawa naona ndio inataka kuzinyonyoa ziishe kabisa nianze moja!!
Uwe unapaka tu gelly
Unachana na mswaki.
Mambo ya kuweka dawa kali za mihogo vinywele vyenyewe vya mbele vinakuwaga vya kuokoteza
Sawa sawa, unakutana demu ana bwana ake ,na bado nakupiga mizinga
huyu anachangamsha genge we endelea kumsikiliza😂
Weeee hao watuwezeshe mitaji tu kama inawezekana nasie tuwe na vyanzo vyetu inafikia wakati too much ombaomba anakuchoka!!
Khakhakhaaaa!!Sawa sawa, unakutana demu ana bwana ake ,na bado nakupiga mizinga
Ukikosa mtu niambie nikupe mtuKubuni Content
Hahaha hahaha,jambo wewe rafikiKhakhakhaaaa!!
Mpk hapa nishakosa ndio maana nauliza hapaUkikosa mtu niambie nikupe mtu