Selfika na JF: Snap it. Show it

 
Uzuri mimi wadogo zangu wanakuja kunitembelea kila mwaka, nitawapeleka madukani wenyewe na vingine watanipora wenyewe waende kujiju huko kwenye customs bongo kuviingiza.
Sijajua T3 sasa hivi kama wale wakuda wapo, maana yalikuwa yanajitegesha pale na vitambi vyao zote njaa tu zile...

Sijafanikiwa kutua hapo tokea wamezindua, maybe sasa hivi vile imekuwa terminal kubwa watakuwa hawapo tena...
 
Watu wanapigia nazo madili humu


Unapata siasani anatumia hii, chitchat anakuwa ke anatumia ile, MMU anakuwa me anaweka zile sredi za kidouchebag na nyingine...si unajua almost watu wako retarded ni vile tu viwango vinapishana
sasa ma id yote hayo ya nini eti?? Au labda mimi ndiyo bado sijaona faida yake?? Shida za nini kuishi kama digidigi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…