Ila usimwambie Jack Palladino na huyu mwenye shamba la bangi kule kisimiri mshamba_hachekwi kuwa umefurahi kusikia hivyo. Watanisagia kunguni hawa nikose bagia π π
huachiiiii, nina experience nayo ndugu yangu, namshukuru Mungu nilitoka salama huo mkoa, mkoa hatari huo, si unamwona nduguyo Antonia katoka zake huko kaenda kojozwa huko