Selfika na JF: Snap it. Show it

Last time i checked, barrel moja zile za 55 gallons alikuwa anacharge 250$...

Humo ndani ya barrel unaweza squeeze nguo nyingi sana...

Hiyo charges zinajumuisha kufuata mzigo kwa addr yako na kusafirisha, ukifika Dar unaenda pick godown zao/nduguzo wanapick pia it's possible...
Hawamtozi kodi za ajabu? Mimi tatizo langu sitaki kumletea mtu wa familia zawadi, halafu nimpe mzigo wa kodi za ajabu kama tunafanya biashara.
 
Uzuri mimi wadogo zangu wanakuja kunitembelea kila mwaka, nitawapeleka madukani wenyewe na vingine watanipora wenyewe waende kujiju huko kwenye customs bongo kuviingiza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…