mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,935
dah, kama hii ni kweli basi wacha niwe optimisticHakuna marefu yasiyo na ncha
Na pesa si kielelezo cha ndoa .
Mungu hakawii wala kuchelewa
Anajibu kwa wakati .
dah, kama hii ni kweli basi wacha niwe optimisticHakuna marefu yasiyo na ncha
Na pesa si kielelezo cha ndoa .
Mungu hakawii wala kuchelewa
Anajibu kwa wakati .
Kwa kuwa wewe ni katibu wa chama Cha kumwaga nje, na sheria ya mkono bao🤣😂😂😂wewe ni special case....
U on point gal👊Ewaah
Not after money wapo wengi
Kikubwa ni love , constant communication and care .
Kwa ndoa za siku hizi🙄, mna oana tarh 1, kuachana trh7🤣😂. Afu usikie tugawane Mali zetu 🤣😂😂Hakuna marefu yasiyo na ncha
Na pesa si kielelezo cha ndoa .
Mungu hakawii wala kuchelewa
Anajibu kwa wakati .
Kuna wengine hawahitaji hela, mtatafuta wote😅Broo kasome ubahili sura ya 6, kifungu Cha Hiyo pesa haipo🤣😂😂
Maybe in paradise 🤣😂😂U on point gal👊
Indian which 😂😂😂For real🙄, mna ongea tu🤣😂. Ila mkisha wekwa ndani utasikia👉 nataka Indian hair🤣😂😂😂
Brooo🙄, Hao viumbe wa hivyo walikuwepo miaka ya 70.Kuna wengine hawahitaji hela, mtatafuta wote😅
Hawa vijana hawawezi kutuelewa kabisaU on point gal👊
Usije nipigia simu unalia🙄, mbwa wa maziwa we😂🤣🤣dah, kama hii ni kweli basi wacha niwe optimistic
😅Hawa vijana hawawezi kutuelewa kabisa
Si zoteKwa ndoa za siku hizi🙄, mna oana tarh 1, kuachana trh7🤣😂. Afu usikie tugawane Mali zetu 🤣😂😂
My dear Acha nikwambie, those women of 60,70, 80 hawapo Tena 😂👉😂, siku hizi kila binti ana taka memoriable marriage 🙄(cost yake Ni mtaji toshaa)))Si zote
Stop generalizing things
Otherwise watu wasingeona daily .
Mimi nipo kukuelewa, if u need anything nipo hapa😊Hawa vijana hawawezi kutuelewa kabisa
mzee kama mzee😂Mimi nipo kukuelewa, if u need anything nipo hapa😊
I object, Kama wakili wa haki za vijana🤣🤣😂Mimi nipo kukuelewa, if u need anything nipo hapa😊
Nyie ndo Mna fanya tuna dharaulika, we dronedrake hebu pambania kombe lako kwa Tinsley 🤣😂mzee kama mzee😂
Nafanyaje sasa naona vijana mnafeli😅mzee kama mzee😂