Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Muwape na nondo wafikie hapoNaam😊
Kizazi kijacho kitakuwa shida sana .
Muwape na nondo wafikie hapoNaam😊
Tayari upo katika hatua ya kwanza .hopefully ntaachana na #kataandoa
Hawaelewi somo hawa😅Muwape na nondo wafikie hapo
Kizazi kijacho kitakuwa shida sana .
harusi lini....
somo ni hela, hicho tu!!Hawaelewi somo hawa😅
Kuna ule msemoHawaelewi somo hawa😅
Maneno kwanza hela baadae!somo ni hela, hicho tu!!
unakumbuka msemo wako 'ukiwa na hela unajilia kiulainiiii'😂Endeleeni kujilia tu nyie
Wanahisi wanawake wote ni gold diggers😅Kuna ule msemo
Mwenye macho haambiwi tazama .
Endeleeni kujilia tu nyie .
harusi lini....
Na nyie mnazo sema bado ndo mnajipanga .unakumbuka msemo wako 'ukiwa na hela unajilia kiulainiiii'😂
ndo kinachowabeba hawa wazee
EwaahWanahisi wanawake wote ni gold diggers😅
wengi hatuna..... usidanganyike ukiona kijana amependezaNa nyie mnazo sema bado ndo mnajipanga .
Bro chama Cha masingle kidumu🤣😂😂shida sio kua na mchuchu, shida ni kua kwenye commited relationship....
japo sijawahi ila zinaonekana ni kazi sana😅
SalamaHabari mkuu
Hakuna marefu yasiyo na nchawengi hatuna..... usidanganyike ukiona kijana amependeza
Broo kasome ubahili sura ya 6, kifungu Cha Hiyo pesa haipo🤣😂😂Wanahisi wanawake wote ni gold diggers😅
Safi sanaSalama
wewe ni special case....Bro chama Cha masingle kidumu🤣😂😂
For real🙄, mna ongea tu🤣😂. Ila mkisha wekwa ndani utasikia👉 nataka Indian hair🤣😂😂😂Hakuna marefu yasiyo na ncha
Na pesa si kielelezo cha ndoa .
Mungu hakawii wala kuchelewa
Anajibu kwa wakati .