Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Habari mkuu.....
Habari mkuu.....
Nani akuachenaogopa kuachwa😬
uchumi ni kielelezo😂 hakuna cha bureTinsley atakuja kuolewa mpo hap hapa🤣
Huyu mshamba_hachekwi hana wazo kabisa la kuwa na mchuchu .Tinsley atakuja kuolewa mpo hap hapa🤣
acha basi.... unanchukuliaje wewe??😂ukimpenda ke ile haswa hakuachi
Samahani Mkuuacha basi.... unanchukuliaje wewe??😂
shida sio kua na mchuchu, shida ni kua kwenye commited relationship....hana wazo kabisa la kuwa na mchuchu .
Tinsley hana mambo mengi wasiwasi wako tuuchumi ni kielelezo😂 hakuna cha bure
ungemtag rabbitus sasa😂
Wanafeli sana😅Huyu mshamba_hachekwi hana wazo kabisa la kuwa na mchuchu .
Nishachokaa kuwashauri yeye na mwenzie Intelligent businessman
Yeah sema nini nyie mnajua kutuendesha , hopeful utaweza tu .shida sio kua na mchuchu, shida ni kua kwenye commited relationship....
japo sijawahi ila zinaonekana ni kazi sana😅
Noma sanaWanafeli sana😅
Wazee tukiwasaidia wanaanza kulalamika😊Noma sana
Wasaidieni tu hawa vijanaWazee tukiwasaidia wanaanza kulalamika😊
Heheee shem rabbitus
Naam😊Wasaidieni tu hawa vijana
Hakuna namna
hopefully ntaachana na #kataandoahopeful utaweza tu .
ngoja aje aanze shusha mistari😂