Heheeee na bado πππ
My all time favourite David aisee
This guy jamani , toka akiwa kijana Mungu alimpa kibali na huruma zake .
Kupata ufalme akiwa katika umri mdogo hakika kupitia yeye tunaona kuwa Mungu akiamua bhana hakuna wa kupinga .
I love reading psalms , one of favourite book in the bible , i started reading psalms nikiwa primary , it helped me discover how to be real with God .
And worship him in spirit and truth ..