Hapa nimefika, nimetua mafurushi yote!
Hukuona jana nimekataa watu humu?? Mimi Countrywide ndio kiboko yangu![]()
Hapa nimefika, nimetua mafurushi yote!
Hukuona jana nimekataa watu humu?? Mimi Countrywide ndio kiboko yangu![]()
Neno...😅Wana pesaaa![]()





Kumbe, 😅Yeye tuongee biashara, ujuzi hatutoi bure![]()
Pesa sio kila kitu madamNeno...😅
Pesa haiwezi kukufikisha hata kituro hapo,Hiko ndio muhimu kwanza![]()
Pesa haiwezi kukufikisha hata kituro hapo,



usinitoe kwenye reli, subiri kwanza vocha ifike baby kamtuma messenger wake!!Kwa kweli nikipata oven ntamshukuru Mungu.Duh pole mwaya
Mungu akuinue upate hata oven aisee inakuwa rahisi sana .
Nimeyaona juzi , yanavutia ...
Hongera chef wetu ....
nakula vikorosho hapaaa njoo basi 😊😊We kimbia, nipo kwenye sherehe kuna mikaka mizuri ya kwendeaaa![]()
kumbe kuna watu wanahonga huko PM 😅😅😅😅 ndio wengine tunaonekanaaa kama mavumbi tuuu dahAmkeniiiiiiiikii Amkeniiiiiiiii
Wewe Mjep ebu muamshe baby wako cocastic mnalala hadi muda huu mna raha gani?!!
Nasemaje Nasemaje
Vocha ishatumwa na baby salam zenu hizoView attachment 2665320
Asante sana baby unawajibu kwa vitendo tu! rabbitus bro tyr huku
Nyie leo natoa yotreeeeeeeeeeeeere![]()
kumbe kuna watu wanahonga huko PMndio wengine tunaonekanaaa kama mavumbi tuuu dah













Hivyo ni bei gani ?Kwa kweli nikipata oven ntamshukuru Mungu.
Yaani Oven, Stand Mixer
Hivyo viwili vikipatikana aisee ntapumua.
Kupiga mchanganyiko na mwiko ni kazi Sana.
Sijakataa tamaaa nakutafunia tu virutubisho tu hapaaa ,🤣🤣🤣Lako hilo babu
Wajukuu wako moto, wewe tafuta mzee mwenzio![]()
Wataka nichangia?😆Hivyo ni bei gani ?
Sijakataa tamaaa nakutafunia tu virutubisho tu hapaaa ,![]()




Heheeeee naogopa uwiiiSi nilikwambia kambake bado unasubiri?!
Uwiiiiiiiiii nimeanza tenanimesahau km baby yupo
![]()