Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
HakikaAmen to that
Mungu ni mwema ,kwa wakati atajibu .
Nawaza kufungua bakery
Japo bado naona sijaiva sana

HakikaAmen to that
Mungu ni mwema ,kwa wakati atajibu .

Sawa sawa, tu bless nyingine tugombanie🤣😂😂hiyo ni kama tone la maziwa kwenye pipa la maji
Paul aiseeCharacter mwingine
Halafu nyie wa double double ndio hata hamuijui inafananaje












Afu waga sio myaji mkubwa, unaweka hata na maandazi🙏Hakika
Nawaza kufungua bakery
Japo bado naona sijaiva sana![]()
Sawa sawa, tu bless nyingine tugombanie![]()



hutaweza kukausha bahari

Kahongwa na yeye kahonga. Ngoma droo Countrywide, Cute Wife







Cute Wife 🙆. TinsleyPaul aisee
Kupitia yeye , Mungu kafanya mambo makubwa sana .
Through Paul , i have learnt that God can use anyone .
Paul hakuwa kabisa muumini wa Yesu kristo ila mpaka alipomtokea na kumwambia
Sauli , why are you persecuting me , suddenly Akabadilika na amefanya makubwa sana katika injili na kueneza ukristo .
Amen to thatHakika
Nawaza kufungua bakery
Japo bado naona sijaiva sana![]()
Wabongo wape Picha tu🤣😂😂😂
Yeah sureAfu waga sio myaji mkubwa, unaweka hata na maandazi![]()
Tufanye co partenship if possible 🙏Yeah sure
Kuna zile cupcakes
Zile zinatoka sana.
Shida ni hivyo vifaa nimetaja
Oven na mixer.
Vikiwepo hivyo tayari kazi imekwisha.
😂😂😂Sijakataa tamaaa nakutafunia tu virutubisho tu hapaaa ,🤣🤣🤣
Oya bro, pale watu Baki una hisa Nini![]()




🙄Sasa nichunguze nini bro
Niache kuusikilizia ukuni wa baby nimwambie anipee yote, nianze ukaguzi mimi Tbs
Ukiona unachunguzwa na mpenzi wako ujue hakuna unachofanya![]()
Kuna mod kanianzishia ugomvi ati nime mkula manzi wake wakati mie joka la kibisaOya rudisha I'd yetu, hiii Ina kera🤣😂
Utasikia AAA, tayari![]()










Naona unataka kuutingisha mbuyu, utaishia kutingisha kalio 🤣😂Tunazo ndio na wale comedian wote week end wanakuja kunisaidia kufanya usafi home![]()