Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Hakika kabisa ..Mpendane, maisha ndio haya.
Hakika kabisa ..Mpendane, maisha ndio haya.
Denzel Washington?Hiyo picha ya pili, huyo mwamba aliua sana ile movie anakula karoti. Nimsahau jina shoot kama sikosei.
No, picha ya tatuDenzel Washington?
Tulipishana kidogo tu but mapenzi yalikua hayajaanza. Kwa sasa tupo okayKwa nini shem , na nilivyo mvivu kuzurura humu ndani , nimeutafuta siuoni .
Najua sikufikii kwa mistari 😂😂Hana verses huyo, ajifunze kwa waliofanikiwa kwanza.
Nimeona shem, acha wafaidi mapenzi yako.
Hongereni sana mapenzi yenu yadumu Countrywide na Cute Wife


Nafurahi kusikia hivyo na huo ndo mwanzo mwema .Tulipishana kidogo tu but mapenzi yalikua hayajaanza. Kwa sasa tupo okay
Sawa, Clive Owen. Shoot them up.Hiyo picha ya pili, huyo mwamba aliua sana ile movie anakula karoti. Nimsahau jina shoot kama sikosei.
Thank u my baby, I feel so safe with u. Even though sometimes we hurt each other and things have happened between us



Mjep njoo talaka imechanwa huku, alafu baby coca anapewa vocha nyingi na baby wake 
what about me?!! 



Sasa mbona hunielewi na mie![]()
nimesahau km baby yupo 





Yap, nilishamsahau mwamba, nakumbuka sura tu. Ni hiyo movieSawa, Clive Owen. Shoot them up.
![]()
Ni filamu ya 2007, lazima niitafute.No, picha ya tatu
Kuna movie anatafuna karoti mwanzo mwisho. Jina lomenitoka ni ya zamani sana
Vocha ya sh ngapi?Mjep njoo talaka imechanwa huku, alafu baby coca anapewa vocha nyingi na baby wake
what about me?!!
Nataka mivoucher kwanza baby wangu una pesa![]()
She's really good, hana shida kabisa




Sikio la kufa😅Si nilikwambia kambake bado unasubiri?!
Uwiiiiiiiiii nimeanza tenanimeshau km baby yupo
![]()
Boss umauliza ya sh ngapi, tuma tu mpaka aseme inatosha.Vocha ya sh ngapi?
Nice mkuu.Yap, nilishamsahau mwamba, nakumbuka sura tu. Ni hiyo movie