Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,246
- 90,422
Kama kuna mchango ,nitachangiaWataka nichangia?😆
Oven inarange 150k na kuendelea hadi 1M kulingana na Volume.
Stand mixer pia hivyohivyo
Kama kuna mchango ,nitachangiaWataka nichangia?😆
Oven inarange 150k na kuendelea hadi 1M kulingana na Volume.
Stand mixer pia hivyohivyo
Ahh nikikuona nakuandalia limbwata 😂😂😂
Kwa kweli nikipata oven ntamshukuru Mungu.
Yaani Oven, Stand Mixer
Hivyo viwili vikipatikana aisee ntapumua.
Kupiga mchanganyiko na mwiko ni kazi Sana.
Utapata tu, hii kwa ajiri ya business au ?Kwa kweli nikipata oven ntamshukuru Mungu.
Yaani Oven, Stand Mixer
Hivyo viwili vikipatikana aisee ntapumua.
Kupiga mchanganyiko na mwiko ni kazi Sana.
Mbona hiyo vocha imeshatumika kabla ya kutumwa hapa😅Amkeniiiiiiiikii Amkeniiiiiiiii
Wewe Mjep ebu muamshe baby wako cocastic mnalala hadi muda huu mna raha gani?!!
Nasemaje Nasemaje
Vocha ishatumwa na baby salam zenu hizoView attachment 2665320
Asante sana baby unawajibu kwa vitendo tu! rabbitus bro tyr huku
Nyie leo natoa yotreeeeeeeeeeeeere![]()
Wataka nichangia?
Oven inarange 150k na kuendelea hadi 1M kulingana na Volume.
Stand mixer pia hivyohivyo
alafu uniandalie cake nzuri kwaajiri ya babyMbona hiyo vocha imeshatumika kabla ya kutumwa hapa![]()












Nimeshalishwa nyingi mpaka mwili haupati side effects tena. Jipange upyaAhh nikikuona nakuandalia limbwata 😂😂😂
Shem.Nikopeshe shem 😂😂
Kama katuma buku 10, utatumika miezi 6 free dadekiUlikuwa unaingiza?!!!
Nimeingiza ndio nikatuma unazani mimi kolo
Weee buku 10 ipotee kilejaleja![]()
😂😂😂Nimeshalishwa nyingi mpaka mwili haupati side effects tena. Jipange upya
Kama katuma buku 10, utatumika miezi 6 free dadeki





Hahha si utajilipa mwenyewe tena 😂😂😂Sasa hapo si nitakuwa najikaanga kwa mafuta yangu mwenyewe shem.
Usijalii ehhh, ntakuchomaaa sindano kubwaa🤣😂Mimi sindano ya tako dohðŸ˜
![]()
Hahaaaaaa nitaenda Bagamoyo kwa wazee![]()




Usijalii ehhh, ntakuchomaaa sindano kubwaa![]()



sindano kubwa teeena