YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
udugu unajua Mjep mtramuuuuu?? Afu sasa yeye hana paparaa anaenda mdo mdo, kasi ikiongezekaa naye anakanyaga mwendo.
Mie matashtiti ya kingoni kipanda, naye analeta mihemko ya kikuryaa, pata pichaaa hapoo.
Wajaluo wake wananifikiaa wakiwa wa motoo km Odinga wakati wa uchaguzi hapo Kenya.
![]()





mkurya vs mngoni lazima pawake Fita fita mulah





