Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

🤣🤣🤣🤣!!

Mwehh mie hizo mambo naziwezea wapi lol ntamkemeaaaa ashendweeeee kwajena la yesooooooooooo 😂😂😂😁!

Hakuna kukimbiii... hataaaa.. tunafunga chumba funguo tunatupaaa njee kwa dirishaaa😅😅😅
 
Nipo wanitia genye tu hapa mwenzako
udugu unajua Mjep mtramuuuuu?? Afu sasa yeye hana paparaa anaenda mdo mdo, kasi ikiongezekaa naye anakanyaga mwendo.

Mie matashtiti ya kingoni kipanda, naye analeta mihemko ya kikuryaa, pata pichaaa hapoo.

Wajaluo wake wananifikiaa wakiwa wa motoo km Odinga wakati wa uchaguzi hapo Kenya.

 
Back
Top Bottom