Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,536
- 66,066
Ahahahhah ndio mzungu na uwakika yaani bado mpaka sasa naisikia dah jauUna uhakika alikuwa mzungu 😂😂😂😂
Ahahahhah ndio mzungu na uwakika yaani bado mpaka sasa naisikia dah jauUna uhakika alikuwa mzungu 😂😂😂😂
Pepo trokkkaaaaaaah!!!!!Mkiss basi atupe vocha hapa unafeli wap shemeji kama shemeji
Hapana manara na mjua vzr sanaAtakuwa manara huyo
Dah Mwachiluwi, huyu Carasco Putin ana sema uli tembea na manara🤣😂😂Usinigombanishe na [mention]Mwachiluwi [/mention] ni ndugu yangu kbsa![]()
Pepo trokkkaaaaaaah!!!!!
sheeeeendwaaaaaaahh!!
Pambana nawee utume!



😂😂😂😂😂Huyo sio mzungu wew😂😂😂Ahahahhah ndio mzungu na uwakika yaani bado mpaka sasa naisikia dah jau






Ahahaha dah nimesikitika sana kabisa manara 🤣🤣🤣Dah Mwachiluwi, huyu Carasco Putin ana sema uli tembea na manara🤣😂😂
Sina shida ya vochaa miee niko furuuuuuu!!Nikiss nitume vocha ya 5000 chapu![]()
😂😂😂😂Mtanivunja mbavu mjueOya mbona unanigombanisha na ndugu yangu [mention]Mwachiluwi [/mention]![]()
Qhahahah dah mzungu wewe ana put ndefu kama koju😂😂😂😂😂Huyo sio mzungu wew😂😂😂
Kakak kwaio kweli mimi.nimetembea na manara 🤣🤣🤣Oya mbona unanigombanisha na ndugu yangu [mention]Mwachiluwi [/mention]![]()
Sina shida ya vochaa miee niko furuuuuuu!!







Mfano kwanza......🙂Selfika bila ua Dr
😂😂😂😂Asije kuwa msichana asie na tako amejichubua ukasema mzungu na zile taa za night club😂😂😂😂Qhahahah dah mzungu wewe ana put ndefu kama koju
Ukirudi kwenu usiniseme vibaya tu!!!🫣Acha nikapike ugali kilo 2 jikoni😂🤣🤣, SI umesema niji sikie Kama nyumbani🙄🤗
Na bwana mwenyewe Ni huyu😂😂😂Nyie hebu niwaache nikapumzike Sasa looh
Leo imekuwa sikunnzuri Nina furaha utasema nimepata bwan mpya Yani had watu wananishangaa 😂😂😂😂
Haya asubuhi njema