Atakuja tu mtu sahihi, Uliyemtunzia ubavu wake ambaye hana papara na tunda. Tunda ni kitu cha ziada sana kwenye mahusiano. Mtu anayekupenda hawezi kutanguliza tamaa ya kula tunda huyo atakuwa na tamaa. Alafu tamaa yenyewe hata dk 10 haizidi ,πππ