Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Au wewe utanipa ini moja inaonekana na wewe unatunza😁Kwakweli itabid akupe anatunza maini ya Nini sasa
Au wewe utanipa ini moja inaonekana na wewe unatunza😁Kwakweli itabid akupe anatunza maini ya Nini sasa
Muongo huyo😅Wew usiniambie😀😀😀
Mimi langu linanukia Azam embe kabisa😂😂😂Au wewe utanipa ini moja inaonekana na wewe unatunza😁
Mnanichanganya ujue😀Muongo huyo😅
Ahaa linafaa kabisa hilo😊Mimi langu linanukia Azam embe kabisa😂😂😂
Sasa chini wapi?umemuelewa?Mnanichanganya ujue😀
Bas hamnashida kabisa nitakupa mojaAhaa linafaa kabisa hilo😊
😁☺️Kama navyosubiria post zako tu😊
Huu upendo daah hadi moyo umestuka🥰Bas hamnashida kabisa nitakupa moja
Bro mbona una taka kumuharibu girl yangu😁😁Muongo huyo😅
Sijawah kutumia kilevi kunarafiki yangu akawa ananishawishi niwe natumia hata wine siku moja moja akasema et red wine ni nzuri Kwa afya😂😂😂Nilisikia kwenye redio ya mbao🤣😂😂
Ahaaa hapana, next month atapata jezi yake
So sorry kumbe ni shem darling 🥺Bro mbona una taka kumuharibu girl yangu😁😁
Mimi sivuti sigara, sinywi pombe, so jichanganye kama sijakuacha uzeeke kwenu 😂🤣Sijawah kutumia kilevi kunarafiki yangu akawa ananishawishi niwe natumia hata wine siku moja moja akasema et red wine ni nzuri Kwa afya😂😂😂
Ahaaaaa uongo huoWataalam wanashauri tunywe angalau nusu glass kwa afya....na kwa experiment niliyofanya, half a glass haileweshi.
Siku moja moja kwani utakufa???😟Una nikorofisha🤔, ili usingizie mi ndo sababu ya wewe kuhama jf😁😂🤣
Hili swali niulize mimi🥺Wataalam wanashauri tunywe angalau nusu glass kwa afya....na kwa experiment niliyofanya, half a glass haileweshi.
😂😂Mimi sivuti sigara, sinywi pombe, so jichanganye kama sijakuacha uzeeke kwenu 😂🤣