Wezi hawibi wakaondoka nayo wanatumia wanakuachia.ntamkuta ashaibiwa mdaa.



ni muda wa evening glory, au hio hamnaga😂Shika yako dogo, haujambo? 😀😀😀😀
Ukute ntalowea kwa black Americans, woiiiiiiiiWezi hawibi wakaondoka nayo wanatumia wanakuachia.
We mwenyewe pia unapoenda huko lazima uonje onjeee kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app





Kaka yangu ana wasiwasi hutafika unaonaje ukaenda atalipa ukifika 😁😁Kakaako mwenyew hata kutuma nauli tu hataki iyo mahari sio atatoa buku tu huyu 😂😂
😀😀Hahaha hapana. Mnaweza kuwa na watoto pia. Unanyumba kubwa inasebure zaidi ya moja.
Ila Kwa maisha yetu haya....
Vijana Kama kina Cocastic ndio wananafasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Anitukane😂🤣🤣Ndio umpigie simu umjulie hali sasa !
Muwe na jioni njema wapendwaaa!✌️✌️✌️✌️✌️ msalimie d
Nipe crdt zangu sio unacheka tu. Nimepatia au nimepuyanga? 😂😂😂
Unavyo penda harusi Sasa🤣😂Atakubali mapema sana subiri wifi niingie mzigoni kumshawishi🤨
Nimekuwekea G Umuoneee, kusindikiza jioni yakoo.Muwe na jioni njema wapendwaaa!![]()





Kujifanya beberu kumbe unamuogopa mfyuu!!Anitukane😂🤣🤣
G kama GWanaume wote ni wadudu, sawa sijakataaa, ila huyu Mende wangu, mniachie mwenyewee.
G km G.View attachment 2659808
Salamu yangu ni yangu nawewe umsalimie pia!Msalimie sasa
😂😂😂Kumbe Wii nawe hata hufai nilijua utanipigia debe nitumiwe na yakutoleaKaka yangu ana wasiwasi hutafika unaonaje ukaenda atalipa ukifika 😁😁
Wanao nijua🤣😂, mi huwa Ni chizi na mstaarabu🤣😂Kujifanya beberu kumbe unamuogopa mfyuu!!
Pale akili lazima ikukae sawa chizii wewe ngoja nimwambie akaze hivohivo!!😊😊😊
😂😂😂wapiiiiisijasoma kaloleni wewe nlikua nimetoka tuisheni😂