mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,938
amani moyoni😂Sera zetu 👉 Panga mkononi
👉 Roho begani for life💪
amani moyoni😂Sera zetu 👉 Panga mkononi
👉 Roho begani for life💪
Hahaha hapana. Mnaweza kuwa na watoto pia. Unanyumba kubwa inasebure zaidi ya moja.Mambo hayo msiwe na watoto
Mnataka kushikana unasikia mama natak kupuu![]()



kwan hapa tutazagamuana kwa sifa, si karibu tuna separate. WoiiiiiihMh labda umuulize Aaliyyah aseme 🤔😂🤣😌😂😂hamna yako lini mpendwa
Kusinda vihi myangu 😀
kwan hapa tutazagamuana kwa sifa, si karibu tuna separate. Woiiiiiih



Tuna waachia majeraha rohoni😂🤣amani moyoni😂
😂😂😂 I can bet... ulisoma pale kwa juu kdg.niliwahi dondosha nauli hapa nkaenda kumuomba mama wa mihogo kule treza😂
sijasoma kaloleni wewe nlikua nimetoka tuisheni😂😂😂😂 I can bet... ulisoma pale kwa juu kdg.
Mtoto umesoma mjini kabisa



tatizo mchongoo, wazazi hawawezi kubali nibaki huku na cna mishe, kuna plan nilitaka nidanganye mmmh nilimdokeza mama kidg akachomoaa.



cna namna ntakua nam mic sanaa.Atakubali mapema sana subiri wifi niingie mzigoni kumshawishi🤨
We Acha bla blaaa utaenda mesachuset utarud utamkuta.tatizo mchongoo, wazazi hawawezi kubali nibaki huku na cna mishe, kuna plan nilitaka nidanganye mmmh nilimdokeza mama kidg akachomoaa.
cna namna ntakua nam mic sanaa.
Ndio umpigie simu umjulie hali sasa !Mdogo ako ana endeleaje, long time imepita🤔
Umepitwa na nini mpendwa




ntamkuta ashaibiwa mdaa.