Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahah nyimbo tu sikuhiz napenda kuimba sana Yani nikiwasina kazi naomba Yani hizo lyrics naziandikaga nikiwa nasikiliza ingekuwa wanaruhusu voicenote ningekuwekea ufurahi navoimbagaSaut kama chura 😂😂😂
😂😂😂😂.
Ofcourse una sauti nzito kidogo halafu wewe ni mtaratibu sana.
 
Bora umenisemea, mbali shikamoo ukiamka mwili unauma umepigishwa kwata la nguvu usiku ndo unapewa afu tatu unywe chai akirudi Tena usiku ugomvi unaamka umenuna chai hainyweki
ugomvi upii, fafanua shangaziii
 
Back
Top Bottom