Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahah nyimbo tu sikuhiz napenda kuimba sana Yani nikiwasina kazi naomba Yani hizo lyrics naziandikaga nikiwa nasikiliza ingekuwa wanaruhusu voicenote ningekuwekea ufurahi navoimbagaSaut kama chura 😂😂😂
😂😂😂😂.
Ofcourse una sauti nzito kidogo halafu wewe ni mtaratibu sana.
 
We mbona skeleton na ni shoga[emoji23]
Zamu yangu haijafikaaa, mashoga skeleton ikifikiwaa ntakua winja winja.

Naona Nicoleee amekugusaa penyewee, mnao act ulijari mnalo hilo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Bora umenisemea, mbali shikamoo ukiamka mwili unauma umepigishwa kwata la nguvu usiku ndo unapewa afu tatu unywe chai akirudi Tena usiku ugomvi unaamka umenuna chai hainyweki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ugomvi upii, fafanua shangaziii
 
Hahah nyimbo tu sikuhiz napenda kuimba sana Yani nikiwasina kazi naomba Yani hizo lyrics naziandikaga nikiwa nasikiliza ingekuwa wanaruhusu voicenote ningekuwekea ufurahi navoimbagaSaut kama chura [emoji23][emoji23][emoji23]
Napenda sana voice notes kwa kweli, na hii sautiii sasa woiiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
20230616_165817.jpg
 
Back
Top Bottom