Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuwa na boda wako ni muhimu sana, hapo angekua kibaka tu nae angeshiriki ungeibiwa.

Hahaa hizo funguo ndio zilikupa ujasiri wa kuhold mkoba kwa nguvu zaidi.
 
Dada Deborah wa form 4 liva, una Roho ya kichalii kabisaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sanaa 🀣🀣🀣

Boda anashangaa why sibabaiki
Ye amebabaika mno, anasema yeye hajawahi shuhudia hao 3 mzuka kwa macho.
Kwanza ikifika saa 12 uwa anaenda nyumbani. Sasa mie leo nilimkaliza mjini mpk saa 1.
Tumefika home, nimeshuka natoa funguo nifungue gate. Anasema siondoki mpk uingie ndani πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yaani saa 1 ndio wanafanya huo uhalifu mmh.

Ila huku hata mchana unakwapuliwa tu, ukiwa unatembea pembezoni mwa barabara
 
Kuwa na boda wako ni muhimu sana, hapo angekua kibaka tu nae angeshiriki ungeibiwa.

Hahaa hizo funguo ndio zilikupa ujasiri wa kuhold mkoba kwa nguvu zaidi.
na wanngenibikiri πŸ˜„πŸ˜„
Ile njia ina giza, haina taa za barabarani na magari sio mengi.

Yan acha 🀣
Kesho nikimuona boda wangu nitamche
Tucheke tu upya
 
Daahh...pole Sana jioni Bora kutopanda boda kisualama Zaidi maana ni hatari Sana waweza jikuta unapata athari Hapo wangewadondosha sijui ingekuaje
 
na wanngenibikiri πŸ˜„πŸ˜„
Ile njia ina giza, haina taa za barabarani na magari sio mengi.

Yan acha 🀣
Kesho nikimuona boda wangu nitamche
Tucheke tu upya
Ila kwanini hukushtuka wala kuogopa🀣
 
Pole sana Miss Depal naona maeneo ya Mwananyamala wanafanya mpaka practical jinsi ya kupora maana wanakuwa watatu halafu wana practice
Mwanayamala,Kinondoni sio salama kabisa a friend of mine walimpora alikua anaongea na mtu pale maeneo ya Biafra
 
Yaani saa 1 ndio wanafanya huo uhalifu mmh.

Ila huku hata mchana unakwapuliwa tu, ukiwa unatembea pembezoni mwa barabara
Nimetoka kuangalia calls
Saa 1 na dk 9, ilikuwa simu ya mwisho ili nitoke mjini.
Na nimefika home, nikawasha Tv bado pazia ilikuwa haijaisha. Means nimefika home b4 saa 2.

Saa moja unajaribu kumpora mtu usiyejua ana nini.. ila wezi hawajipendi kabisa.
Watu wenyewe wa huku pesa kdg mtu ana bastola.
 
Hatari sana yaani Upambavu hauna bei na hapo wanakuwa wametoka kuvuta bangi na mazungumzo yao sasa hivi ni mkataba wa Bandari utadhani hata zile boti za Azam kwenda Zanzibar wameshawahi kupanda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…