sasa jamani mie sijasoma shule hizo ambazo ziko karibu na mashamba japo pia mie siyo wa kishua kabisa hauwezi amini,, tunapambana na maisha tu and the struggle is real..
Yeah somehow inanoga hivi hivi maana katika kujuana na watu unaweza jikuta umejuana na mtu wako wa karibu sana humu halafu ukajikuta unakosa ari ya kuendelea tena kuchangia mada