Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nampenda mnoo Mello, yuko humble,
Nikijiskia namchokozaa wee bas, roho yanguu kwatuu
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Yuko poa sana sema mshawishi Na yeye awe ana selfika basi. Yuko humble mnooo naikumbuka ile JF ya miaka ya 2010 unampigia anakufuata kuja kukuelekeza enzi za Blackberry bold na curve๐Ÿ˜…
Mara mbili alinifuata pale Millennium Towers enzi za mgahawa wa Steers na juice ๐Ÿฅค ananunua.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa, hebu kesho nimuambie anifuatenna mie kuja kunielekezaaa, woiiiiih.

Sasa a selfike na picha zake zimejaa mtandaoni kibao. Hivi hana fekero kweli analoswampia humu??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa, hebu kesho nimuambie anifuatenna mie kuja kunielekezaaa, woiiiiih.

Sasa a selfike na picha zake zimejaa mtandaoni kibao. Hivi hana fekero kweli analoswampia humu??
Yawezekana analo we never know ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Sasa hivi umuite akuelekeze nini ? Wakati kuna Technical staffs na hawafanyi kazi virtually kama enzi zile ? ๐Ÿ˜…
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] G alinitorosha eti.
Chaa๐Ÿ˜‚
G anatuharibia mtoto jamani.


Leo nilipanda na kaka ananukia huyo
Tulikuwa tunasubiri wote gari,ikachelewa sana,,ilivyofika tukapanda wote.

Mweupeee,msafiiiii
Mungu awabariki wanaume weupe wasafi.
Mnavutia kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ