Ahahahhaha ile watu wengi walikuwa hawalipe di jina so ikabid nirudishe jina la mwazoLol mbona umeacha ile id yako sasa best nawewe😊😊😊!!
Nawezaje kukuchunia mieee unajua kabisa Siweziiii 🤩🤩🤩😛!
Huyo Shoga anakupa wakati wa kumfuatilia kwa undani kuliko hao pisi kali? Bas huyo shoga kuna kitu kawazidi hao pisi kalii wako.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
watu weuweeeeeeeee![]()
Siwezi poteza muda wangu, nilisahau kuna ignore button, una udhi, pisi kali humu zinapost picha we kazi yako kutwa kucha kupost vi imoji unajichekesha kama chizi la milembe, hau fit kwenye huu uzi na wengi hawakuelewi, fuatilia kimya kimya kama huna cha maana unatia kichefu chefu.Na uko buzzy mda wote kuifatilia hiyo laana??
Dj Waleteeeeee.
Ilaa wewe ndio mkorofi hapo kunna usemi wanasemaSiwezi poteza muda wangu, nilisahau kuna ignore button, una udhi, pisi kali humu zinapost picha we kazi yako kutwa kucha kupost vi imoji unajichekesha kama chizi la milembe, hau fit kwenye huu uzi na wengi hawakuelewi, fuatilia kimya kimya kama huna cha maana unatia kichefu chefu.
Siwezi poteza muda wangu, nilisahau kuna ignore button, una udhi, pisi kali humu zinapost picha we kazi yako kutwa kucha kupost vi imoji unajichekesha kama chizi la milembe, hau fit kwenye huu uzi na wengi hawakuelewi, fuatilia kimya kimya kama huna cha maana unatia kichefu chefu.




hivi ukiwa na stress ndo uhamishie kwangu??nawee post vi emoji vya kujichekeshaa, hao pisi kali uhuru ni wao kupost, 




Lol kumbeee mi nikahisi huyu mtu mgeniiii selfika ila nikashangaa mgeni gani anabagua wa kuongea naoo lol😊😊!! !!Ahahahhaha ile watu wengi walikuwa hawalipe di jina so ikabid nirudishe jina la mwazo
Tinder si tabora mkuu??toto lizuri!! miss you too!
Siku ile mbeya carnival tulipishana eh?
Utanikuta tinde_shiyanga hapa nakusubiria.
Ahahhahah usijar kabisa ilo limepita kwa tiki kubwaLol kumbeee mi nikahisi huyu mtu mgeniiii selfika ila nikashangaa mgeni gani anabagua wa kuongea naoo lol😊😊!! !!
Fanya uibles Jioni yangu kwanzaa besttt au utatupia badae yanga tukishafanya yeitruu???
Asantreeeeeeeeehhh!! Nasubiriaa hapaa best akeee!!🙇🙇Ahahhahah usijar kabisa ilo limepita kwa tiki kubwa
Huyo Mwachiluwi ni msalitk mkubwa, alikuwa team jf usiku wa manane.Lol kumbeee mi nikahisi huyu mtu mgeniiii selfika ila nikashangaa mgeni gani anabagua wa kuongea naoo lol😊😊!! !!
Fanya uibles Jioni yangu kwanzaa besttt au utatupia badae yanga tukishafanya yeitruu???
I mean no malice to nobody,ila Selfikaa hapana kwa kweliii.
Mie nshaizoea, najioneaa manjegekaa tyuuh.
Watu mkae kwa nywilaaa, ogopa matapeliii.
Woiiiiiih![]()
Tinde Ni shinyanga_ pale mizani Ni njia panda ya kuelekea kahama_na shinyanga mjini.Tinder si tabora mkuu??
Amefanyeje kwani??? Amemsaliti nani kichaaa akee nawee?? Hebu acha fujoo zakooo!!Huyo Mwachiluwi ni msalitk mkubwa, alikuwa team jf usiku wa manane.
👉Tukiwa Mimi intelli, Dahan, Analyse, Half american, Bantu Lady, na dogo aliye maliza form 4 mwaka Jana mshamba_hachekwi 😂🤣
Nobody to malice.I mean no malice to nobody,
Yeah uko sawa, nilipita hukoo.Tinde Ni shinyanga_ pale mizani Ni njia panda ya kuelekea kahama_na shinyanga mjini.
Japo unaweza dhani Ni tabora pia maana tokea nzega_tabora) mpaka tinde Ni kama dk 20 tu kwa gari.
Huu mchezo haunga hasiraa 😂😂Nobody to malice.
Usijari kabisa🤗Asantreeeeeeeeehhh!! Nasubiriaa hapaa best akeee!!🙇🙇
Mwachiluwi ni msaliti na mkimbizi kutoka team jf usiku wa manane 🙄Amefanyeje kwani??? Amemsaliti nani kichaaa akee nawee?? Hebu acha fujoo zakooo!!
Huu mchezo haunga hasiraa![]()




wanachomoka m1 m1, na wanaliwa vichwaaa.