Selfika na JF: Snap it. Show it

that's ma bro
 
Mmhh kuna mkaka nilisoma naye alikuwa ana muandiko mzuri jamani hasa akiandikia black pen karatasi inakuwa kama imetolewa copy vile,, hadi nikawa namuomba awe anaandikia black pen tu..
Ukiona mwandiko wangu lazima ukalazwe aisee....mda mwingine hata mimi siwezi kuusoma,sasa huo ndio wakiume.

Wakike mnaumba herufu kama zilivyo mbwembwe nyingii....weka uno hilo uzi uchafuke huu
 
Mwandiko una uhusiano na namna mtu anafikiri, muda anaotumia kufikiri na hatimaye kuamua...

Ukisoma soma makala za watu wanaopenda fanya research za human behavior, wanakwambia watu wanaoandika haraka(mwandiko mvurugo
), wana uwezo mkubwa wa kufikiria na kuamua....

Halafu wale wanaoandika taratibu na kutumia muda mrefu kuumba herufi, eti hata namna yao ya kutafakari ipo taratibu, huchukuwa muda kufanya maamuzi
Mmhh kuna mkaka nilisoma naye alikuwa ana muandiko mzuri jamani hasa akiandikia black pen karatasi inakuwa kama imetolewa copy vile,, hadi nikawa namuomba awe anaandikia black pen tu..
 
loh kumbe??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…