Hahah simu linameza mkadi wote utadhani unataka kutoa hela ATM vile...
Halafu kuongea lazima ufungue kibaraza(kimfuniko cha kukinga mawimbi) na unyooshe antenna hivi...
Atoto hapa alikuwa anafutwa kamasi tu huko Tunduru ndani ndani karibu na Msumbiji